1 Wafalme 11:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Wakati huo ndipo Sulemani alipojenga mahali pa juu+ kwa ajili ya Kemoshi, mungu mwenye kuchukiza wa Moabu, kwenye mlima uliokuwa mbele ya Yerusalemu, na kwa ajili ya Moleki,+ mungu mwenye kuchukiza wa Waamoni.+ 2 Wafalme 21:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Manase+ alikuwa na umri wa miaka 12 alipoanza kutawala, naye alitawala kwa miaka 55 huko Yerusalemu.+ Mama yake aliitwa Hefziba. 2 Wafalme 21:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Alijenga pia madhabahu katika nyumba ya Yehova,+ ambayo Yehova alikuwa amesema hivi kuihusu: “Nitaweka jina langu Yerusalemu.”+
7 Wakati huo ndipo Sulemani alipojenga mahali pa juu+ kwa ajili ya Kemoshi, mungu mwenye kuchukiza wa Moabu, kwenye mlima uliokuwa mbele ya Yerusalemu, na kwa ajili ya Moleki,+ mungu mwenye kuchukiza wa Waamoni.+
21 Manase+ alikuwa na umri wa miaka 12 alipoanza kutawala, naye alitawala kwa miaka 55 huko Yerusalemu.+ Mama yake aliitwa Hefziba.
4 Alijenga pia madhabahu katika nyumba ya Yehova,+ ambayo Yehova alikuwa amesema hivi kuihusu: “Nitaweka jina langu Yerusalemu.”+