Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 5:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Mara tu wapiga tarumbeta na waimbaji walipoanza kumsifu na kumshukuru Yehova kwa pamoja, na milio ya tarumbeta, matoazi, na ala nyingine za muziki zilipoanza kusikika walipokuwa wakimsifu Yehova, “kwa maana yeye ni mwema; upendo wake mshikamanifu unadumu milele,”+ ndipo nyumba hiyo, nyumba ya Yehova, ikajaa wingu.+

  • Ezra 3:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Nao wakaanza kuimba kwa kuitikia+ wakimsifu na kumshukuru Yehova “kwa maana yeye ni mwema; upendo wake mshikamanifu kwa Israeli unadumu milele.”+ Kisha watu wote wakapaza sauti wakimsifu Yehova kwa sababu msingi wa nyumba ya Yehova ulikuwa umewekwa.

  • Zaburi 106:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 106 Msifuni Yah!*

      Mshukuruni Yehova, kwa maana yeye ni mwema;+

      Upendo wake mshikamanifu unadumu milele.+

  • Isaya 12:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Na siku hiyo mtasema:

      “Mshukuruni Yehova, liitieni jina lake,

      Yajulisheni mataifa matendo yake!+

      Tangazeni kwamba jina lake limekwezwa.+

  • Mika 7:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Ni Mungu gani aliye kama wewe,

      Unayesamehe dhambi na kuachilia makosa+ ya watu waliobaki wa urithi wako?+

      Hutaendelea kuwa na hasira milele,

      Kwa maana unapendezwa na upendo mshikamanifu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki