2 “Chukua kitabu cha kukunjwa na uandike ndani yake maneno yote ambayo nimekuambia dhidi ya Israeli na Yuda+ na mataifa yote,+ tangu siku ya kwanza niliyozungumza nawe katika siku za utawala wa Yosia mpaka leo hii.+
4 Kisha Yeremia akamwita Baruku+ mwana wa Neria, naye Yeremia akamwambia maneno yote ambayo Yehova alikuwa amemwambia, naye Baruku akayaandika maneno hayo katika kitabu cha kukunjwa Yeremia alipokuwa akiyasema.+