Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 32:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 kisha nikampa hati hiyo ya ununuzi Baruku+ mwana wa Neria+ mwana wa Mahseya mbele ya Hanameli mwana wa ndugu ya baba yangu, wale mashahidi walioandika kwenye hati ya ununuzi, na Wayahudi wote waliokuwa wameketi katika Ua wa Walinzi.+

  • Yeremia 45:2-5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 “Yehova Mungu wa Israeli anasema hivi kukuhusu wewe, Baruku, 3 ‘Umesema: “Ole wangu, kwa maana Yehova ameongeza huzuni kwenye maumivu yangu! Nimechoka kwa sababu ya kulia kwa maumivu, nami sijapata mahali pa kupumzika.”’

      4 “Mwambie, ‘Yehova anasema hivi: “Tazama! Kile ambacho nimekijenga ninakibomoa, na kile nilichokipanda ninaking’oa—nchi yote.+ 5 Lakini unajitafutia* mambo makuu. Acha kuyatafuta mambo hayo.”’

      “‘Kwa maana, niko karibu kuleta msiba dhidi ya wote wenye mwili,’*+ asema Yehova, ‘na popote utakapoenda, nitakupa uhai wako* kuwa nyara.’”*+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki