Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 66:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Kwa maana Yehova atatekeleza hukumu kwa moto,

      Naam, kwa upanga wake, dhidi ya wote wenye mwili;*

      Na watakaouawa na Yehova watakuwa wengi.

  • Yeremia 25:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Basi nikakichukua kile kikombe kutoka mkononi mwa Yehova na kuyanywesha mataifa yote ambayo Yehova alinituma kwao:+

  • Yeremia 25:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 na wafalme wote wa kaskazini walio karibu na walio mbali, mmoja baada ya mwingine, na falme nyingine zote za dunia zilizo juu ya ardhi; na mfalme wa Sheshaki*+ atakunywa baada yao.

  • Sefania 3:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 ‘Kwa hiyo endeleeni kunitarajia,’*+ asema Yehova,

      ‘Mpaka siku nitakapoinuka ili kuchukua nyara,*

      Kwa maana uamuzi wangu wa hukumu ni kuyakusanya mataifa, kuzikusanya falme,

      Niwamwagie ghadhabu yangu, hasira yangu yote inayowaka;+

      Kwa maana dunia yote itateketezwa kwa moto wa bidii yangu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki