Isaya 5:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Sasa, tafadhali, acheni niwaambieKile nitakacholifanyia shamba langu la mizabibu: Nitaondoa uzio wake,Nalo litateketezwa kabisa.+ Nitaubomoa ukuta wake wa mawe,Nalo litakanyagwa-kanyagwa. Yeremia 1:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 1 Haya ndiyo maneno ya Yeremia* mwana wa Hilkia, mmoja wa makuhani wa Anathothi+ katika nchi ya Benjamini. Yeremia 1:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Tazama, nimekutuma leo hii ili uwe juu ya mataifa na juu ya falme, ili kung’oa na kubomoa, ili kuangamiza na kuangusha, ili kujenga na kupanda.”+
5 Sasa, tafadhali, acheni niwaambieKile nitakacholifanyia shamba langu la mizabibu: Nitaondoa uzio wake,Nalo litateketezwa kabisa.+ Nitaubomoa ukuta wake wa mawe,Nalo litakanyagwa-kanyagwa.
1 Haya ndiyo maneno ya Yeremia* mwana wa Hilkia, mmoja wa makuhani wa Anathothi+ katika nchi ya Benjamini.
10 Tazama, nimekutuma leo hii ili uwe juu ya mataifa na juu ya falme, ili kung’oa na kubomoa, ili kuangamiza na kuangusha, ili kujenga na kupanda.”+