Mambo ya Walawi 26:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Nitayaangamiza majiji yenu kwa upanga+ na kuharibu mahali penu patakatifu, nami sitasikia harufu inayopendeza* ya dhabihu zenu. Mambo ya Walawi 26:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Nitawatawanya miongoni mwa mataifa,+ nitachomoa upanga nanyi mtakimbizwa;+ na nchi yenu itaharibiwa, na majiji yenu yatabaki ukiwa.+ Nehemia 2:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kisha nikamwambia mfalme: “Mfalme na aishi muda mrefu! Kwa nini nisiwe na huzuni wakati lile jiji, mahali ambapo mababu zangu wamezikwa ni magofu, na malango yake yameteketezwa kwa moto?”+ Zaburi 79:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 79 Ee Mungu, mataifa yamevamia urithi wako;+Yamelichafua hekalu lako takatifu;+Yamebadili Yerusalemu kuwa rundo la magofu.+
31 Nitayaangamiza majiji yenu kwa upanga+ na kuharibu mahali penu patakatifu, nami sitasikia harufu inayopendeza* ya dhabihu zenu.
33 Nitawatawanya miongoni mwa mataifa,+ nitachomoa upanga nanyi mtakimbizwa;+ na nchi yenu itaharibiwa, na majiji yenu yatabaki ukiwa.+
3 Kisha nikamwambia mfalme: “Mfalme na aishi muda mrefu! Kwa nini nisiwe na huzuni wakati lile jiji, mahali ambapo mababu zangu wamezikwa ni magofu, na malango yake yameteketezwa kwa moto?”+
79 Ee Mungu, mataifa yamevamia urithi wako;+Yamelichafua hekalu lako takatifu;+Yamebadili Yerusalemu kuwa rundo la magofu.+