9 Wale watakaobaki katika jiji hili watakufa kwa upanga, kwa njaa kali, na kwa ugonjwa hatari. Lakini yeyote atakayetoka na kujisalimisha kwa Wakaldayo wanaowazingira ataendelea kuishi, naye atapata uhai wake* kama nyara.”’*+
6 Wakawachukua wanaume, wanawake, watoto, mabinti wa mfalme, na kila mtu ambaye Nebuzaradani+ mkuu wa walinzi alikuwa amemwacha pamoja na Gedalia+ mwana wa Ahikamu+ mwana wa Shafani,+ na pia nabii Yeremia na Baruku mwana wa Neria.