Zaburi 37:39, 40 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 Wokovu wa watu waadilifu unatoka kwa Yehova;+Yeye ndiye ngome yao wakati wa taabu.+ 40 Yehova atawasaidia na kuwaokoa.+ Atawanusuru kutoka kwa waovu na kuwaokoa,Kwa sababu wanamkimbilia yeye.+ Yeremia 17:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Amebarikiwa mtu* anayemtumaini Yehova,Ambaye uhakika wake uko katika Yehova.+
39 Wokovu wa watu waadilifu unatoka kwa Yehova;+Yeye ndiye ngome yao wakati wa taabu.+ 40 Yehova atawasaidia na kuwaokoa.+ Atawanusuru kutoka kwa waovu na kuwaokoa,Kwa sababu wanamkimbilia yeye.+