-
2 Wafalme 25:1, 2Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
25 Katika mwaka wa tisa wa utawala wa Sedekia, katika mwezi wa kumi, siku ya kumi ya mwezi huo, Mfalme Nebukadneza+ wa Babiloni alikuja na jeshi lake lote kushambulia Yerusalemu.+ Akapiga kambi na kujenga ukuta kulizingira jiji hilo pande zote,+ 2 naye akalizingira jiji hilo mpaka mwaka wa 11 wa utawala wa Mfalme Sedekia.
-