Danieli 2:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Yeye hubadili nyakati na majira,+Huwaondoa wafalme na kuwaweka wafalme,+Huwapa hekima walio na hekima na kuwapa ujuzi wale walio na utambuzi.+ Danieli 5:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Ee mfalme, Mungu Aliye Juu Zaidi alimpa baba yako Nebukadneza ufalme na ukuu na heshima na fahari.+
21 Yeye hubadili nyakati na majira,+Huwaondoa wafalme na kuwaweka wafalme,+Huwapa hekima walio na hekima na kuwapa ujuzi wale walio na utambuzi.+
18 Ee mfalme, Mungu Aliye Juu Zaidi alimpa baba yako Nebukadneza ufalme na ukuu na heshima na fahari.+