Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 7:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Wana wanakusanya kuni, akina baba wanawasha moto, na wake wanakanda unga ili kumwokea Malkia wa Mbinguni*+ keki za dhabihu, nao wanaimiminia miungu mingine matoleo ya kinywaji ili wanikasirishe.+

  • Yeremia 44:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Wanaume wote waliojua kwamba wake zao walikuwa wakiitolea miungu mingine dhabihu na wake wote waliokuwa wamesimama hapo, wakiwa kundi kubwa, na watu wote waliokuwa wakiishi nchini Misri,+ kule Pathrosi,+ wakamjibu hivi Yeremia:

  • Yeremia 44:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Badala yake, hakika tutafanya kila neno ambalo vinywa vyetu vimesema, tutamtolea dhabihu Malkia wa Mbinguni* na kummiminia matoleo ya kinywaji,+ kama vile sisi, mababu zetu, wafalme wetu, na wakuu wetu walivyofanya katika majiji ya Yuda na kwenye barabara za Yerusalemu tulipokuwa tumeshiba mkate na tulipokuwa na hali njema, wakati ambapo hatukuona msiba wowote.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki