Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 10:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Wana wa Hamu walikuwa Kushi, Misraimu,+ Putu,+ na Kanaani.+

  • Mwanzo 10:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Misraimu akamzaa Ludimu,+ Anamimu, Lehabimu, Naftuhimu,+

  • Ezekieli 30:4, 5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Upanga utaishambulia Misri, na Ethiopia itakumbwa na hofu wakati waliouawa watakapoanguka huko Misri;

      Utajiri wake umechukuliwa na misingi yake imebomolewa kabisa.+

       5 Ethiopia,+ Putu,+ Ludi na watu wote wa mataifa mbalimbali,*

      Na Kubu, pamoja na wana wa nchi ya agano,*

      Wote watauawa kwa upanga.”’

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki