4 Upanga utaishambulia Misri, na Ethiopia itakumbwa na hofu wakati waliouawa watakapoanguka huko Misri;
Utajiri wake umechukuliwa na misingi yake imebomolewa kabisa.+
5 Ethiopia,+ Putu,+ Ludi na watu wote wa mataifa mbalimbali,
Na Kubu, pamoja na wana wa nchi ya agano,
Wote watauawa kwa upanga.”’