22 “Nitainuka dhidi yao,”+ asema Yehova wa majeshi.
“Nami nitafuta kabisa kutoka Babiloni jina na watu waliobaki na watoto na wazao,”+ asema Yehova.
23 “Nami nitamfanya kuwa makao ya nungunungu na eneo lenye umajimaji, nami nitamfagia kwa ufagio wa maangamizi,”+ asema Yehova wa majeshi.