Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 45:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 45 Hivi ndivyo Yehova anavyomwambia mtiwa-mafuta wake, Koreshi,+

      Ambaye nimeushika mkono wake wa kulia+

      Ili kuyatiisha mataifa mbele yake,+

      Kuwanyang’anya silaha* wafalme,

      Kufungua mbele yake milango yenye pande mbili,

      Hivi kwamba malango hayatafungwa:

  • Yeremia 51:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 “Isugueni mishale;+ chukueni ngao za mviringo.*

      Yehova ameichochea roho ya wafalme wa Wamedi,+

      Kwa sababu anakusudia kuiangamiza Babiloni.

      Kwa maana hiki ndicho kisasi cha Yehova, kisasi kwa ajili ya hekalu lake.

  • Yeremia 51:27, 28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 “Inueni ishara* katika nchi.+

      Pigeni pembe kati ya mataifa.

      Wekeni* mataifa ya kumshambulia.

      Iteni dhidi yake falme za Ararati,+ Mini, na Ashkenazi.+

      Wekeni juu yake ofisa mwandikishaji.

      Wafanyeni farasi waje kama nzige wenye miiba.

      28 Wekeni* mataifa ya kumshambulia,

      Wafalme wa Umedi,+ magavana wake na watawala wake wote wasaidizi

      Na nchi zote wanazozitawala.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki