Isaya 2:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Na watu wataingia ndani ya mapango ya miambaNa ndani ya mashimo ardhini,+Kwa sababu ya uwepo wa Yehova unaoogopeshaNa fahari yake kuu,+Anapoinuka ili kuifanya dunia itetemeke kwa hofu.
19 Na watu wataingia ndani ya mapango ya miambaNa ndani ya mashimo ardhini,+Kwa sababu ya uwepo wa Yehova unaoogopeshaNa fahari yake kuu,+Anapoinuka ili kuifanya dunia itetemeke kwa hofu.