Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 94:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Kwa maana Yehova hatawaacha watu wake,+

      Wala hatautupa urithi wake.+

  • Isaya 44:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 “Kumbuka mambo haya, Ee Yakobo, na wewe, Ee Israeli,

      Kwa maana wewe ni mtumishi wangu.

      Nilikutokeza, nawe ni mtumishi wangu.+

      Ee Israeli, sitakusahau.+

  • Yeremia 46:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Basi usiogope, mtumishi wangu Yakobo,’ asema Yehova, ‘kwa maana niko pamoja nawe.

      Nitayaangamiza kabisa mataifa yote ambako nilikutawanya,+

      Lakini wewe sitakuangamiza.+

      Nitakutia nidhamu* kwa kiwango kinachofaa,+

      Lakini sitakuacha kamwe bila kukuadhibu.’”

  • Zekaria 2:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Yehova atamiliki Yuda kama fungu lake katika ardhi takatifu, naye atalichagua tena jiji la Yerusalemu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki