Yeremia 50:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 “Watu wa Israeli ni kondoo+ waliotawanyika. Simba wamewatawanya.+ Kwanza mfalme wa Ashuru aliwanyafua;+ kisha Mfalme Nebukadneza* wa Babiloni akaguguna mifupa yao.+ Yeremia 51:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Nami nitamlipa Babiloni na wakaaji wote wa UkaldayoKwa sababu ya uovu wote ambao wametenda huko Sayuni mbele ya macho yenu,”+ asema Yehova.
17 “Watu wa Israeli ni kondoo+ waliotawanyika. Simba wamewatawanya.+ Kwanza mfalme wa Ashuru aliwanyafua;+ kisha Mfalme Nebukadneza* wa Babiloni akaguguna mifupa yao.+
24 Nami nitamlipa Babiloni na wakaaji wote wa UkaldayoKwa sababu ya uovu wote ambao wametenda huko Sayuni mbele ya macho yenu,”+ asema Yehova.