Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 24:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 “‘Lakini kuhusu tini mbaya ambazo ni mbaya sana hivi kwamba haziwezi kuliwa,+ Yehova anasema hivi: “Ndivyo nitakavyomwona Mfalme Sedekia+ wa Yuda, wakuu wake, wakaaji wa Yerusalemu waliobaki katika nchi hii, na wale wanaokaa nchini Misri.+

  • Yeremia 34:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Nami nitamtia Mfalme Sedekia wa Yuda na wakuu wake mikononi mwa maadui wao na mikononi mwa wale wanaotaka kuwaua* na mikononi mwa majeshi ya mfalme wa Babiloni,+ ambao wanaondoka na kuacha kuwashambulia.’+

  • Yeremia 37:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Kisha Mfalme Sedekia akaagiza aletwe, naye mfalme akaanza kumuuliza maswali kisiri katika nyumba yake.*+ Akamuuliza, “Je, kuna neno lolote kutoka kwa Yehova?” Yeremia akasema: “Lipo!” naye akaendelea kusema: “Utatiwa mikononi mwa mfalme wa Babiloni!”+

  • Yeremia 38:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Lakini usipojisalimisha* kwa wakuu wa mfalme wa Babiloni, jiji hili litatiwa mikononi mwa Wakaldayo, nao wataliteketeza kwa moto,+ nawe hutaponyoka mikononi mwao.’”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki