2 Wafalme 21:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Manase pia alimwaga damu nyingi sana isiyo na hatia mpaka alipojaza Yerusalemu damu hiyo kutoka mwisho mmoja hadi mwingine,+ mbali na dhambi yake aliyosababisha Yuda kutenda kwa kufanya maovu machoni pa Yehova. Ezekieli 7:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 “‘Tengeneza mnyororo,*+ kwa maana nchi imejaa hukumu yenye madoa ya damu+ na jiji limejaa ukatili.+
16 Manase pia alimwaga damu nyingi sana isiyo na hatia mpaka alipojaza Yerusalemu damu hiyo kutoka mwisho mmoja hadi mwingine,+ mbali na dhambi yake aliyosababisha Yuda kutenda kwa kufanya maovu machoni pa Yehova.
23 “‘Tengeneza mnyororo,*+ kwa maana nchi imejaa hukumu yenye madoa ya damu+ na jiji limejaa ukatili.+