Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 15:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 “Ninakufanya kuwa ukuta wa shaba wenye ngome kwa watu hawa.+

      Kwa hakika watapigana nawe,

      Lakini hawatakushinda,+

      Kwa maana mimi niko pamoja nawe, ili nikuokoe na kukukomboa,” asema Yehova.

  • Yeremia 20:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Lakini Yehova alikuwa pamoja nami kama shujaa anayetisha.+

      Ndiyo sababu wale wanaonitesa watajikwaa nao hawatashinda.+

      Wataaibishwa sana, kwa maana hawatafanikiwa.

      Fedheha yao ya milele haitasahauliwa.+

  • Ezekieli 3:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Tazama! Nimeufanya uso wako uwe mgumu kama nyuso zao na paji la uso wako liwe gumu kama mapaji ya nyuso zao.+

  • Mika 3:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Lakini mimi, nimejazwa nguvu kwa roho ya Yehova,

      Nimejazwa haki na uwezo,

      Ili nimwambie Yakobo uasi wake na Israeli dhambi yake.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki