7 “Kumbukeni, msisahau kamwe jinsi mlivyomkasirisha Yehova Mungu wenu nyikani.+ Tangu siku mliyotoka nchini Misri mpaka mlipofika mahali hapa, mmekuwa mkimwasi Yehova.+
8 Wanatenda kama walivyozoea kutenda tangu nilipowatoa Misri mpaka leo hii; wamekuwa wakiniacha+ na kuabudu miungu mingine,+ na hivyo ndivyo wanavyokutendea wewe pia.