Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 26:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Nitawatawanya miongoni mwa mataifa,+ nitachomoa upanga nanyi mtakimbizwa;+ na nchi yenu itaharibiwa, na majiji yenu yatabaki ukiwa.+

  • Isaya 1:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Nchi yenu ni ukiwa.

      Majiji yenu yameteketezwa kwa moto.

      Wageni wanaila nchi yenu mbele ya macho yenu.+

      Ni kama nchi iliyo ukiwa iliyoharibiwa kabisa na wageni.+

  • Isaya 6:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Ndipo nikauliza: “Ni mpaka lini, Ee Yehova?” Kisha akasema:

      “Mpaka majiji yabomoke yawe magofu bila mkaaji

      Na nyumba zisiwe na watu

      Na nchi iharibiwe na kubaki ukiwa;+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki