Mambo ya Walawi 26:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Nitawatawanya miongoni mwa mataifa,+ nitachomoa upanga nanyi mtakimbizwa;+ na nchi yenu itaharibiwa, na majiji yenu yatabaki ukiwa.+ Isaya 1:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Nchi yenu ni ukiwa. Majiji yenu yameteketezwa kwa moto. Wageni wanaila nchi yenu mbele ya macho yenu.+ Ni kama nchi iliyo ukiwa iliyoharibiwa kabisa na wageni.+ Isaya 6:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Ndipo nikauliza: “Ni mpaka lini, Ee Yehova?” Kisha akasema: “Mpaka majiji yabomoke yawe magofu bila mkaajiNa nyumba zisiwe na watuNa nchi iharibiwe na kubaki ukiwa;+
33 Nitawatawanya miongoni mwa mataifa,+ nitachomoa upanga nanyi mtakimbizwa;+ na nchi yenu itaharibiwa, na majiji yenu yatabaki ukiwa.+
7 Nchi yenu ni ukiwa. Majiji yenu yameteketezwa kwa moto. Wageni wanaila nchi yenu mbele ya macho yenu.+ Ni kama nchi iliyo ukiwa iliyoharibiwa kabisa na wageni.+
11 Ndipo nikauliza: “Ni mpaka lini, Ee Yehova?” Kisha akasema: “Mpaka majiji yabomoke yawe magofu bila mkaajiNa nyumba zisiwe na watuNa nchi iharibiwe na kubaki ukiwa;+