Kumbukumbu la Torati 28:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Utamchumbia mwanamke, lakini mwanamume mwingine atambaka. Utajenga nyumba, lakini hutaishi ndani yake.+ Utapanda shamba la mizabibu, lakini hutaanza kula matunda yake.+ Sefania 1:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Utajiri wao utaporwa na nyumba zao zitaharibiwa kabisa.+ Watajenga nyumba, lakini hawatakaa ndani yake;Nao watapanda mashamba ya mizabibu, lakini hawatakunywa divai yake.+
30 Utamchumbia mwanamke, lakini mwanamume mwingine atambaka. Utajenga nyumba, lakini hutaishi ndani yake.+ Utapanda shamba la mizabibu, lakini hutaanza kula matunda yake.+
13 Utajiri wao utaporwa na nyumba zao zitaharibiwa kabisa.+ Watajenga nyumba, lakini hawatakaa ndani yake;Nao watapanda mashamba ya mizabibu, lakini hawatakunywa divai yake.+