Yeremia 30:12, 13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kwa maana Yehova anasema hivi: “Hakuna matibabu kwa ajili ya jeraha lako.*+ Kidonda chako hakiwezi kupona. 13 Hakuna mtu wa kukutetea,Hakuna njia ya kukiponya kidonda chako. Hakuna dawa ya kukuponya.
12 Kwa maana Yehova anasema hivi: “Hakuna matibabu kwa ajili ya jeraha lako.*+ Kidonda chako hakiwezi kupona. 13 Hakuna mtu wa kukutetea,Hakuna njia ya kukiponya kidonda chako. Hakuna dawa ya kukuponya.