Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 36:15, 16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Yehova Mungu wa mababu zao aliendelea kuwaonya kupitia wajumbe wake, aliwaonya tena na tena, kwa sababu aliwahurumia watu wake na makao yake. 16 Lakini waliendelea kuwadhihaki wajumbe wa Mungu wa kweli,+ wakadharau maneno yake+ na kuwakejeli manabii wake,+ mpaka ghadhabu ya Yehova ilipokuja dhidi ya watu wake,+ hivi kwamba hawangeweza kuponywa.

  • Isaya 6:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Ufanye moyo wa watu hawa uwe mgumu,+

      Yafanye masikio yao yawe mazito,+

      Na uyafunge kabisa macho yao,

      Ili wasione kwa macho yao

      Na wasisikie kwa masikio yao,

      Ili moyo wao usielewe

      Nao wasigeuke na kuponywa.”

  • Yeremia 8:21, 22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Nimevunjwavunjwa kwa sababu ya jeraha* la binti ya watu wangu;+

      Nimehuzunika.

      Nimepatwa na mshtuko.

      22 Je, hakuna zeri* kule Gileadi?+

      Au, je, hakuna mponyaji* huko?+

      Kwa nini binti ya watu wangu hajaponywa?+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki