Yeremia 6:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Ee binti ya watu wangu,Vaa nguo za magunia+ na ugaegae katika majivu. Omboleza kana kwamba unamwombolezea mwana wa pekee, kwa kilio cha uchungu,+Kwa maana mwangamizaji atatushambulia kwa ghafla.+ Yeremia 14:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 “Unapaswa kuwaambia neno hili,‘Macho yangu na yabubujike machozi usiku na mchana, yasiishe,+Kwa maana bikira, binti ya watu wangu amepondwa kabisa na kuvunjwa,+Kwa jeraha baya sana.
26 Ee binti ya watu wangu,Vaa nguo za magunia+ na ugaegae katika majivu. Omboleza kana kwamba unamwombolezea mwana wa pekee, kwa kilio cha uchungu,+Kwa maana mwangamizaji atatushambulia kwa ghafla.+
17 “Unapaswa kuwaambia neno hili,‘Macho yangu na yabubujike machozi usiku na mchana, yasiishe,+Kwa maana bikira, binti ya watu wangu amepondwa kabisa na kuvunjwa,+Kwa jeraha baya sana.