Yeremia 14:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Punda wa mwituni wanasimama kwenye vilima vitupu. Wanahemahema kama mbwamwitu;Macho yao yanadhoofika kwa sababu hakuna majani.+ Yeremia 23:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kwa maana nchi imejaa wazinzi;+Kwa sababu ya laana nchi inaomboleza+Na malisho ya nyikani yamekauka.+ Njia yao ni ya uovu, nao wanatumia vibaya nguvu zao.
6 Punda wa mwituni wanasimama kwenye vilima vitupu. Wanahemahema kama mbwamwitu;Macho yao yanadhoofika kwa sababu hakuna majani.+
10 Kwa maana nchi imejaa wazinzi;+Kwa sababu ya laana nchi inaomboleza+Na malisho ya nyikani yamekauka.+ Njia yao ni ya uovu, nao wanatumia vibaya nguvu zao.