Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 32:37, 38
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 37 Ndipo atakaposema, ‘Miungu yao iko wapi,+

      Mwamba ambao waliukimbilia,

      38 Iliyokuwa ikila mafuta ya dhabihu zao,*

      Na kunywa divai ya matoleo yao ya kinywaji?+

      Acheni iinuke na kuwasaidia ninyi.

      Na iwe kimbilio lenu.

  • Isaya 28:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Kwa maana ninyi watu mnasema:

      “Tumefanya agano na Kifo,+

      Na tumefanya mapatano* na Kaburi.*

      Mafuriko makubwa ya ghafla yatakapopita,

      Hayatatufikia,

      Kwa maana tumeufanya uwongo kuwa kimbilio letu

      Nasi tumejificha katika udanganyifu.”+

  • Yeremia 10:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Kila mtu anatenda bila kutumia akili na bila ujuzi.

      Kila fundi wa chuma ataaibishwa kwa sababu ya sanamu ya kuchongwa;+

      Kwa maana sanamu yake ya chuma* ni uwongo,

      Nazo hazina roho* ndani yake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki