34 Nitaikomesha sauti ya furaha na sauti ya shangwe, sauti ya bwana harusi na sauti ya bibi harusi,+ katika majiji ya Yuda na katika barabara za Yerusalemu, kwa maana nchi itakuwa magofu.’”+
23 Hakuna nuru ya taa itakayoangaza tena ndani yako, na hakuna sauti ya bwana harusi na bibi harusi itakayosikiwa tena ndani yako; kwa kuwa wafanyabiashara wako walikuwa watu wenye vyeo vya juu duniani, kwa maana mataifa yote yalipotoshwa kwa mazoea yako ya kuwasiliana na roho.+