18 Waliiacha nyumba ya Yehova Mungu wa mababu zao na kuanza kuabudu miti mitakatifu* na sanamu, hivi kwamba hasira ya Mungu ikaja* dhidi ya Yuda na Yerusalemu kwa sababu ya hatia yao.
3 Alijenga upya mahali pa juu ambapo Hezekia baba yake alikuwa amebomoa,+ akajenga madhabahu kwa ajili ya Mabaali na kutengeneza miti mitakatifu,* naye akaliinamia jeshi lote la mbinguni na kuliabudu.+