Waamuzi 3:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Basi Waisraeli wakatenda maovu machoni pa Yehova, wakamsahau Yehova Mungu wao, na kuabudu Mabaali+ na miti mitakatifu.*+ 2 Wafalme 21:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Manase+ alikuwa na umri wa miaka 12 alipoanza kutawala, naye alitawala kwa miaka 55 huko Yerusalemu.+ Mama yake aliitwa Hefziba. 2 Wafalme 21:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Alijenga upya mahali pa juu ambapo Hezekia baba yake alikuwa amebomoa,+ akajenga madhabahu kwa ajili ya Baali na kutengeneza mti mtakatifu,*+ kama alivyofanya Ahabu mfalme wa Israeli.+ Naye akaliinamia jeshi lote la mbinguni na kuliabudu.+
7 Basi Waisraeli wakatenda maovu machoni pa Yehova, wakamsahau Yehova Mungu wao, na kuabudu Mabaali+ na miti mitakatifu.*+
21 Manase+ alikuwa na umri wa miaka 12 alipoanza kutawala, naye alitawala kwa miaka 55 huko Yerusalemu.+ Mama yake aliitwa Hefziba.
3 Alijenga upya mahali pa juu ambapo Hezekia baba yake alikuwa amebomoa,+ akajenga madhabahu kwa ajili ya Baali na kutengeneza mti mtakatifu,*+ kama alivyofanya Ahabu mfalme wa Israeli.+ Naye akaliinamia jeshi lote la mbinguni na kuliabudu.+