13 Lakini mliendelea kufanya mambo hayo yote,’ asema Yehova, ‘na ingawa nilizungumza nanyi tena na tena,* hamkusikiliza.+ Niliendelea kuwaita, lakini hamkujibu.+
10 Watu hawa waovu wanaokataa kutii maneno yangu,+ wanaofuata kwa ukaidi moyo wao wenyewe,+ na wanaofuata miungu mingine, wakiiabudu na kuiinamia, watakuwa kama mshipi huu usiofaa kabisa.’