-
Yeremia 51:7Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
7 Babiloni amekuwa kikombe cha dhahabu mkononi mwa Yehova;
Aliilewesha dunia yote.
-
-
Ezekieli 23:32-34Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
32 “Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anasema hivi:
‘Utakunywa kikombe kipana na chenye kina cha dada yako,+
Nawe utakuwa kitu cha kuchekwa na kudhihakiwa, na kikombe hicho kina mambo hayo kwa wingi.+
33 Utalemewa na* ulevi na huzuni,
Kikombe cha hofu na ukiwa,
Kikombe cha dada yako, Samaria.
34 Utalazimika kukinywa na kukimaliza kabisa+ na kuviguguna vigae vyake
Kisha utayang’oa matiti yako.
“Kwa maana mimi mwenyewe nimesema,” asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.’
-
-
Nahumu 3:7Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
Ni nani atakayelihurumia?’
Nitakutafutia wapi wafariji?
-
-
Nahumu 3:11Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
Utatafuta kimbilio kutoka kwa adui.
-