Yeremia 49:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 “Na lazima Edomu awe kitu cha kutisha.+ Kila mtu anayepita kando yake atatazama kwa hofu na kupiga mluzi kwa sababu ya mapigo yake yote. Maombolezo 4:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Furahi na kushangilia, Ee binti ya Edomu,+ unayekaa katika nchi ya Usi. Lakini wewe pia utapitishiwa kikombe,+ nawe utalewa na kufunua uchi wako.+
17 “Na lazima Edomu awe kitu cha kutisha.+ Kila mtu anayepita kando yake atatazama kwa hofu na kupiga mluzi kwa sababu ya mapigo yake yote.
21 Furahi na kushangilia, Ee binti ya Edomu,+ unayekaa katika nchi ya Usi. Lakini wewe pia utapitishiwa kikombe,+ nawe utalewa na kufunua uchi wako.+