-
Yeremia 29:31, 32Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
31 “Watumie ujumbe watu wote waliopelekwa uhamishoni, ukisema, ‘Yehova anasema hivi kumhusu Shemaya wa Nehelamu: “Kwa sababu Shemaya aliwatabiria, ingawa sikumtuma, naye akajaribu kuwafanya mtumaini uwongo,+ 32 kwa hiyo Yehova anasema hivi: ‘Ninamkazia fikira Shemaya wa Nehelamu na wazao wake. Hakuna yeyote miongoni mwa watu wake atakayeokoka kati ya watu hawa, naye hataona mema nitakayowatendea watu wangu,’ asema Yehova, ‘kwa maana amewachochea watu wamwasi Yehova.’”’”
-