Mambo ya Walawi 26:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Nitatembea kati yenu na kuwa Mungu wenu,+ nanyi mtakuwa watu wangu.+ Yeremia 30:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 “Nanyi mtakuwa watu wangu,+ nami nitakuwa Mungu wenu.”+ Yeremia 31:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 “Kwa maana hili ndilo agano nitakalofanya pamoja na nyumba ya Israeli baada ya siku hizo,” asema Yehova. “Nitaitia sheria yangu ndani yao,+ nami nitaiandika katika moyo wao.+ Nami nitakuwa Mungu wao, nao watakuwa watu wangu.”+
33 “Kwa maana hili ndilo agano nitakalofanya pamoja na nyumba ya Israeli baada ya siku hizo,” asema Yehova. “Nitaitia sheria yangu ndani yao,+ nami nitaiandika katika moyo wao.+ Nami nitakuwa Mungu wao, nao watakuwa watu wangu.”+