Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 33:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 “Yehova wa majeshi anasema hivi, ‘Katika eneo hili lenye ukiwa, lisilo na mtu au mifugo, na katika majiji yake yote kutakuwa tena na malisho kwa ajili ya wachungaji kupumzisha makundi yao.’+

  • Ezekieli 36:10, 11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Nitazidisha idadi ya watu wako—nyumba yote ya Israeli, yote—nayo majiji yatakaliwa+ na magofu yatajengwa upya.+ 11 Naam, nitazidisha idadi ya watu wako na mifugo yako;+ wataongezeka na kuzaana. Nami nitafanya ukaliwe kama ilivyokuwa zamani,+ nami nitakufanya usitawi kuliko mwanzoni;+ nanyi mtalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki