36 Kwa hiyo Yehova anasema hivi:
“Ninaitetea kesi yako,+
Nami nitakulipizia kisasi.+
Nitaikausha bahari yake na kuvikausha visima vyake.+
37 Na Babiloni atakuwa marundo ya mawe,+
Pango la mbwamwitu,+
Kitu cha kutisha na kitu cha kupigiwa mluzi,
Bila mkaaji.+