Kumbukumbu la Torati 28:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Yehova atawaletea kichaa na upofu+ na kuwafanya mchanganyikiwe.* Sefania 1:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Nitawataabisha wanadamu,Nao watatembea kama vipofu,+Kwa sababu wamemtendea Yehova dhambi.+ Damu yao itamwagwa kama mavumbi,Na nyama* yao kama mavi.+
17 Nitawataabisha wanadamu,Nao watatembea kama vipofu,+Kwa sababu wamemtendea Yehova dhambi.+ Damu yao itamwagwa kama mavumbi,Na nyama* yao kama mavi.+