Zaburi 79:2, 3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Wamewapa ndege wa angani maiti za watumishi wako kuwa chakula chaoNa miili ya washikamanifu wako wamewapa wanyama wa mwituni wa dunia.+ 3 Wamemwaga damu yao kama maji kotekote Yerusalemu,Na hakuna aliyebaki wa kuwazika.+ Yeremia 9:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Sema, ‘Yehova anasema hivi: “Maiti za watu zitaanguka kama mbolea juu ya ardhi shambani,Kama safu ya miganda ya nafaka iliyotoka kukatwa na mvunaji,Bila mtu wa kuikusanya.”’”+ Yeremia 16:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 ‘Watakufa kwa magonjwa hatari,+ lakini hakuna atakayewaombolezea wala kuwazika; watakuwa kama mbolea kwenye ardhi.+ Wataangamia kwa upanga na kwa njaa kali,+ na maiti zao zitakuwa chakula cha ndege wa angani na wanyama wa duniani.’
2 Wamewapa ndege wa angani maiti za watumishi wako kuwa chakula chaoNa miili ya washikamanifu wako wamewapa wanyama wa mwituni wa dunia.+ 3 Wamemwaga damu yao kama maji kotekote Yerusalemu,Na hakuna aliyebaki wa kuwazika.+
22 Sema, ‘Yehova anasema hivi: “Maiti za watu zitaanguka kama mbolea juu ya ardhi shambani,Kama safu ya miganda ya nafaka iliyotoka kukatwa na mvunaji,Bila mtu wa kuikusanya.”’”+
4 ‘Watakufa kwa magonjwa hatari,+ lakini hakuna atakayewaombolezea wala kuwazika; watakuwa kama mbolea kwenye ardhi.+ Wataangamia kwa upanga na kwa njaa kali,+ na maiti zao zitakuwa chakula cha ndege wa angani na wanyama wa duniani.’