25 Yehova atafanya mshindwe mbele ya maadui wenu.+ Mtawashambulia kutoka upande mmoja, lakini mtawakimbia mkielekea pande saba tofauti; nanyi mtakuwa kitu cha kutisha kwa falme zote za dunia.+
65 Hamtakuwa na amani miongoni mwa mataifa hayo+ wala mahali pa kupumzisha wayo wa mguu wenu. Badala yake, mkiwa huko Yehova atawapa moyo wenye mahangaiko+ na macho yanayodhoofika na hisia za kukata tamaa.*+