2 Wafalme 25:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Mkuu wa walinzi alimchukua pia kuhani mkuu Seraya,+ Sefania+ kuhani wa pili, na walinzi watatu wa milango.+ 2 Wafalme 25:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Mfalme wa Babiloni aliwaua na kuwaangamiza huko Ribla katika nchi ya Hamathi.+ Hivyo watu wa Yuda wakaenda uhamishoni kutoka katika nchi yao.+
18 Mkuu wa walinzi alimchukua pia kuhani mkuu Seraya,+ Sefania+ kuhani wa pili, na walinzi watatu wa milango.+
21 Mfalme wa Babiloni aliwaua na kuwaangamiza huko Ribla katika nchi ya Hamathi.+ Hivyo watu wa Yuda wakaenda uhamishoni kutoka katika nchi yao.+