Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 28:49
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 49 “Yehova ataleta dhidi yenu taifa la mbali,+ kutoka mwisho wa dunia; litawarukia kama tai,+ taifa ambalo hamtaelewa lugha yake,+

  • 2 Wafalme 24:1, 2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Katika siku za utawala wa Yehoyakimu, Mfalme Nebukadneza+ wa Babiloni alikuja kumshambulia, Yehoyakimu akawa mtumishi wake kwa miaka mitatu. Hata hivyo, alimgeuka na kumwasi. 2 Kisha Yehova akaanza kutuma makundi ya wavamizi ya Wakaldayo,+ Wasiria, Wamoabu, na Waamoni yaende kumshambulia. Aliendelea kutuma makundi hayo yawavamie watu wa Yuda ili kuwaangamiza, kulingana na neno la Yehova+ alilosema kupitia watumishi wake manabii.

  • 2 Wafalme 25:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Katika mwaka wa tisa wa utawala wa Sedekia, katika mwezi wa kumi, siku ya kumi ya mwezi huo, Mfalme Nebukadneza+ wa Babiloni alikuja na jeshi lake lote kushambulia Yerusalemu.+ Akapiga kambi na kujenga ukuta kulizingira jiji hilo pande zote,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki