Zaburi 74:10, 11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Ee Mungu, mpinzani ataendelea kudhihaki mpaka lini?+ Je, adui ataendelea kulidharau jina lako milele?+ 11 Kwa nini unauzuia mkono wako, mkono wako wa kuume?+ Uchomoe kifuani mwako* na kuwaangamiza?
10 Ee Mungu, mpinzani ataendelea kudhihaki mpaka lini?+ Je, adui ataendelea kulidharau jina lako milele?+ 11 Kwa nini unauzuia mkono wako, mkono wako wa kuume?+ Uchomoe kifuani mwako* na kuwaangamiza?