Zaburi 44:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Amka. Kwa nini unaendelea kulala usingizi, Ee Yehova?+ Amka! Usiendelee kututupa milele.+ Isaya 64:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Baada ya hayo yote, je, bado utajizuia, Ee Yehova? Je, utaendelea kunyamaza na kuacha tuteseke kupita kiasi?+ Maombolezo 2:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kwa hasira kali amezikata nguvu zote za* Israeli. Aliuondoa mkono wake wa kuume adui alipokaribia,+Na katika Yakobo aliendelea kuwaka kama moto ulioteketeza kila kitu kilicho karibu.+
12 Baada ya hayo yote, je, bado utajizuia, Ee Yehova? Je, utaendelea kunyamaza na kuacha tuteseke kupita kiasi?+
3 Kwa hasira kali amezikata nguvu zote za* Israeli. Aliuondoa mkono wake wa kuume adui alipokaribia,+Na katika Yakobo aliendelea kuwaka kama moto ulioteketeza kila kitu kilicho karibu.+