Zaburi 74:10, 11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Ee Mungu, mpinzani ataendelea kudhihaki mpaka lini?+ Je, adui ataendelea kulidharau jina lako milele?+ 11 Kwa nini unauzuia mkono wako, mkono wako wa kuume?+ Uchomoe kifuani mwako* na kuwaangamiza? Zekaria 1:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Basi malaika wa Yehova akauliza: “Ee Yehova wa majeshi, utaendelea hadi lini kukataa kuwaonyesha rehema wakaaji wa Yerusalemu na wa majiji ya Yuda,+ ambao umewakasirikia kwa miaka hii 70?”+
10 Ee Mungu, mpinzani ataendelea kudhihaki mpaka lini?+ Je, adui ataendelea kulidharau jina lako milele?+ 11 Kwa nini unauzuia mkono wako, mkono wako wa kuume?+ Uchomoe kifuani mwako* na kuwaangamiza?
12 Basi malaika wa Yehova akauliza: “Ee Yehova wa majeshi, utaendelea hadi lini kukataa kuwaonyesha rehema wakaaji wa Yerusalemu na wa majiji ya Yuda,+ ambao umewakasirikia kwa miaka hii 70?”+