-
Yeremia 31:18Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
18 “Hakika nimemsikia Efraimu akiomboleza,
‘Umenirekebisha, nami nimerekebishwa,
Kama ndama ambaye hajazoezwa.
Nirudishe, nami nitageuka bila kusita,
Kwa maana wewe ni Yehova Mungu wangu.
-
-
Ezekieli 6:9Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
9 Na wale watakaoponyoka watanikumbuka kati ya mataifa ambamo watapelekwa mateka.+ Watatambua kwamba nilikuwa nimevunjika moyo kwa sababu ya moyo wao usio na uaminifu* ulioniacha+ na macho yao ambayo yanatamani sana* sanamu zao zinazochukiza.+ Wataaibika na kuchukizwa na mambo yote maovu na yenye kuchukiza ambayo wametenda.+
-