Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 26:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Nitatembea kati yenu na kuwa Mungu wenu,+ nanyi mtakuwa watu wangu.+

  • Ezekieli 11:19, 20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Nami nitawapa moyo wenye umoja,*+ nami nitatia roho mpya ndani yao;+ nami nitauondoa moyo wa jiwe katika miili yao+ na kuwapa moyo wa nyama,*+ 20 ili watembee katika sheria zangu na kushika hukumu zangu na kuzitii. Kisha watakuwa watu wangu, nami nitakuwa Mungu wao.”’

  • Ezekieli 43:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Akaniambia:

      “Mwana wa binadamu, hapa ndipo mahali pa kiti changu cha ufalme+ na mahali pa nyayo za miguu yangu,+ ambapo nitakaa kati ya watu wa Israeli milele.+ Watu wa nyumba ya Israeli hawatalichafua tena jina langu takatifu,+ wao na wafalme wao, kwa ukahaba wao wa kiroho na kwa maiti za wafalme wao wanapokufa.

  • Hosea 2:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Nitampanda kama mbegu kwa ajili yangu duniani,+

      Nami nitamwonyesha rehema yule ambaye hakuonyeshwa rehema;*

      Nitawaambia wale ambao si watu wangu:* “Ninyi ni watu wangu,”+

      Nao watasema: “Wewe ni Mungu wetu.”’”+

  • Ufunuo 21:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Ndipo nikasikia sauti kubwa kutoka katika kile kiti cha ufalme ikisema: “Tazama! Hema la Mungu liko pamoja na wanadamu, naye atakaa pamoja nao, nao watakuwa watu wake. Na Mungu mwenyewe atakuwa pamoja nao.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki