Kutoka 29:45 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 45 Nitakaa* miongoni mwa Waisraeli, nami nitakuwa Mungu wao.+ Zaburi 68:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Enyi milima yenye vilele, kwa nini mnautazama kwa wivu,Mlima ambao Mungu ameuchagua kuwa* makao yake?+ Kwa kweli, Yehova atakaa huko milele.+ Zaburi 132:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 “Hapa ndipo mahali pangu pa kupumzikia milele;Nitakaa hapa,+ kwa maana nimepatamani. Yoeli 3:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Nanyi mtalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova Mungu wenu, ninayekaa Sayuni, mlima wangu mtakatifu.+ Yerusalemu litakuwa mahali patakatifu,+Na wageni hawatapita tena humo.+
16 Enyi milima yenye vilele, kwa nini mnautazama kwa wivu,Mlima ambao Mungu ameuchagua kuwa* makao yake?+ Kwa kweli, Yehova atakaa huko milele.+
17 Nanyi mtalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova Mungu wenu, ninayekaa Sayuni, mlima wangu mtakatifu.+ Yerusalemu litakuwa mahali patakatifu,+Na wageni hawatapita tena humo.+