Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 29:45
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 45 Nitakaa* miongoni mwa Waisraeli, nami nitakuwa Mungu wao.+

  • Zaburi 68:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Enyi milima yenye vilele, kwa nini mnautazama kwa wivu,

      Mlima ambao Mungu ameuchagua kuwa* makao yake?+

      Kwa kweli, Yehova atakaa huko milele.+

  • Zaburi 132:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 “Hapa ndipo mahali pangu pa kupumzikia milele;

      Nitakaa hapa,+ kwa maana nimepatamani.

  • Yoeli 3:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Nanyi mtalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova Mungu wenu, ninayekaa Sayuni, mlima wangu mtakatifu.+

      Yerusalemu litakuwa mahali patakatifu,+

      Na wageni hawatapita tena humo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki